Maendeleo ya IT Tanzania yameendelea kugusa maisha ya wengi mjini na vijijini. Kuanzia mwalimu mpaka mkulima, kwa mfanyabiashara na hata mfanyakazi wa ofisini, IT inaipeleka Tanzania kunakotakiwa. CNN imeripoti maendeleo hayo - tazama video hii
Wednesday, 14 September 2011
Tanzania Yaripotiwa na CNN : Jinsi IT inavyoleta maendeleo
Maendeleo ya IT Tanzania yameendelea kugusa maisha ya wengi mjini na vijijini. Kuanzia mwalimu mpaka mkulima, kwa mfanyabiashara na hata mfanyakazi wa ofisini, IT inaipeleka Tanzania kunakotakiwa. CNN imeripoti maendeleo hayo - tazama video hii
0 comments:
Post a Comment